Habari
WALENGWA WA TASAF WAMSHUKURU RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KWA KUBORESHA MAISHA YAO

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akizungumza na walengwa wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma wakati wa ziara yake ya kikazi ya kukagua utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini katika Halmashauri ya Wilaya hiyo.