Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

WALENGWA WA TASAF WAMSHUKURU RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KWA KUBORESHA MAISHA YAO


Walengwa wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini na wananchi wa Kijiji cha Nangombo, Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama (hayupo pichani) alipokuwa akizungumza nao wakati wa ziara ya kikazi ya Waziri huyo iliyolenga kukagua utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini katika Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa.