Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

WALENGWA WA TASAF WAMSHUKURU RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KWA KUBORESHA MAISHA YAO


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Jenista Mhagama akimsikiliza Mlengwa wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga, mkoani Ruvuma, Bibi Elvina Haule alipokuwa akieleza namna TASAF ilivyowezesha kuboresha maisha yake wakati wa ziara ya kikazi ya Waziri Jenista iliyolenga kukagua utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga.