Habari
WAKURUGENZI WA HALMASHAURI WAHIMIZWA KUSIMAMIA MIRADI YA TASAF KIKAMILIFU KAMA WANAVYOSIMAMIA MIRADI MINGINE YA MAENDELEO

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius Ndejembi (wapili kutoka kulia) akielekea kukagua madarasa ya shule ya Msingi Kivukoni yaliyopo katika Halmashauri ya Mji Geita wakati wa ziara yake ya kikazi ya kukagua utekelezaji wa miradi ya TASAF mkoani Geita, wengine ni watendaji wa mkoa huo.