Habari
WAKURUGENZI WA HALMASHAURI WAHIMIZWA KUSIMAMIA MIRADI YA TASAF KIKAMILIFU KAMA WANAVYOSIMAMIA MIRADI MINGINE YA MAENDELEO

Sehemu ya Watendaji wa Halmashauri ya Mji Geita na Halmashauri ya Wilaya ya Geita wakimsikiliza Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius Ndejembi (katikati meza kuu) mara baada ya Naibu Waziri huyo kukagua miradi ya TASAF wakati wa ziara yake ya kikazi mkoani Geita.