Habari
WAKAZI WA MAJANI YA CHAI JIJINI TANGA WAPONGEZWA KUKIPAMBANIA CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA KUPATA KIWANJA CHA KUJENGA KAMPASI

Mwonekano wa sehemu ya kiwanja ambacho Chuo cha Utumishi wa Umma kimemilikishwa kwa ajili ya ujenzi wa Kampasi yake jijini Tanga.