Habari
WAKAZI WA MAJANI YA CHAI JIJINI TANGA WAPONGEZWA KUKIPAMBANIA CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA KUPATA KIWANJA CHA KUJENGA KAMPASI

Mmoja wa wakazi wa Kata ya Maweni jijini Tanga, Mzee Abdallah Kilo akieleza furaha yake kwa Mhe. Jenista Mhagama mara baada ya Chuo cha Utumishi wa Umma kupata haki ya umiliki wa kiwanja itakayowawezesha kujenga kampasi katika kata yake.