Habari
WAKAZI WA MAJANI YA CHAI JIJINI TANGA WAPONGEZWA KUKIPAMBANIA CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA KUPATA KIWANJA CHA KUJENGA KAMPASI

Kaimu Mkuu wa Chuo na Mtendaji Mkuu wa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) Dkt. Ernest Mabonesho akiwashukuru wananchi wa Majani ya Chai Kata ya Maweni jijini Tanga kwa kuunga mkono jitihada za chuo chake kupata kiwanja kwa ajili ya kujenga kampasi jijini humo.