Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

WAKAZI WA MAJANI YA CHAI JIJINI TANGA WAPONGEZWA KUKIPAMBANIA CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA KUPATA KIWANJA CHA KUJENGA KAMPASI


Diwani wa Kata ya Maweni, Mhe. Joseph Kolivasi akimshukuru Mhe. Jenista Mhagama kwa kuwatembelea wananchi wa kata yake wakati alipoenda kulitazama eneo ambalo Chuo cha Utumishi wa Umma kitajenga kampasi yake jijini Tanga.