Habari
WAKAZI WA MAJANI YA CHAI JIJINI TANGA WAPONGEZWA KUKIPAMBANIA CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA KUPATA KIWANJA CHA KUJENGA KAMPASI

Diwani wa Kata ya Maweni, Mhe. Joseph Kolivasi akimshukuru Mhe. Jenista Mhagama kwa kuwatembelea wananchi wa kata yake wakati alipoenda kulitazama eneo ambalo Chuo cha Utumishi wa Umma kitajenga kampasi yake jijini Tanga.