Habari
WAKAZI WA MAJANI YA CHAI JIJINI TANGA WAPONGEZWA KUKIPAMBANIA CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA KUPATA KIWANJA CHA KUJENGA KAMPASI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akioneshwa ramani ya kiwanja cha Chuo cha Utumishi wa Umma na Kamishna wa Ardhi jijini Tanga alipowasili eneo ambalo chuo hicho kitajenga kampasi yake jijini humo.