Habari
WAKAZI WA MAJANI YA CHAI JIJINI TANGA WAPONGEZWA KUKIPAMBANIA CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA KUPATA KIWANJA CHA KUJENGA KAMPASI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akiwa na viongozi pamoja na wananchi wa Majani ya Chai Kata ya Maweni jijini Tanga wakati akiwasili eneo ambao Chuo cha Utumishi wa Umma kimepata kiwanja kwa ajili ya kujenga kampasi yake jijini Tanga.