Habari
WAJUMBE WA BARAZA LA WAFANYAKAZI OFISI YA RAIS-UTUMISHI WATAKIWA KUAINISHA NA KUZITAFUTIA UFUMBUZI CHANGAMOTO ZITAKAZOKWAMISHA UTEKELEZAJI WA BAJETI YA MWAKA 2023/24

Mwenyekiti wa TUGHE Tawi la Ofisi ya Rais-UTUMISHI, Bw. Kamugisha Rufulenge akichangia hoja kwenye Mkutano Mkuu wa Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora uliofanyika katika ukumbi wa Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa jijini Dodoma.