Habari
WAJUMBE WA BARAZA LA WAFANYAKAZI OFISI YA RAIS-UTUMISHI WATAKIWA KUAINISHA NA KUZITAFUTIA UFUMBUZI CHANGAMOTO ZITAKAZOKWAMISHA UTEKELEZAJI WA BAJETI YA MWAKA 2023/24

Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bw. Juma Mkomi (aliyekaa katikati) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora mara baada ya kuhitimisha Mkutano Maalumu wa Baraza hilo uliofanyika katika ukumbi wa Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa jijini Dodoma. Kushoto ni Katibu wa Baraza la Ofisi ya Rais-UTUMISHI, Bw. Rocky Setembo na kulia ni Mwenyekiti wa TUGHE tawi la Ofisi ya Rais-UTUMISHI, Bw. Kamugisha Rufulenge.