Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

WAJUMBE WA BARAZA LA WAFANYAKAZI OFISI YA RAIS-UTUMISHI WATAKIWA KUAINISHA NA KUZITAFUTIA UFUMBUZI CHANGAMOTO ZITAKAZOKWAMISHA UTEKELEZAJI WA BAJETI YA MWAKA 2023/24


Mtakwimu Mkuu kutoka Idara ya Mipango Ofisi ya Rais-UTUMISHI akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Mpango wa Bajeti kwa mwaka wa fedha 2022/2023 na mapendekezo ya bajeti na mpango kazi wa mwaka wa fedha 2023/2024 kwenye Mkutano Maalum wa Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora uliofanyika katika ukumbi wa Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa jijini Dodoma.