Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

WAJUMBE WA BARAZA LA WAFANYAKAZI OFISI YA RAIS-UTUMISHI WATAKIWA KUAINISHA NA KUZITAFUTIA UFUMBUZI CHANGAMOTO ZITAKAZOKWAMISHA UTEKELEZAJI WA BAJETI YA MWAKA 2023/24


Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bw. Juma Mkomi akiteta jambo na Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu Ofisi ya Rais-UTUMISHI, Bw. Musa Magufuli wakati wa Mkutano Maalum wa Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora uliofanyika katika ukumbi wa Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa jijini Dodoma.