Habari
WAHITIMU TPSC WATAKIWA KUTUMIA ELIMU YAO KUFANYA KAZI KWA UFANISI ILI KUWA NA TIJA KATIKA MAENDELEO YA TAIFA

Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro akitoa neno kuhusu mahafali ya 36 ya Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania yaliyofanyika mkoani Mtwara.