Habari
WAHITIMU TPSC WATAKIWA KUTUMIA ELIMU YAO KUFANYA KAZI KWA UFANISI ILI KUWA NA TIJA KATIKA MAENDELEO YA TAIFA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akitunuku cheti kwa mmoja wa wahitimu waliofanya vizuri katika masomo yao wakati wa mahafali ya 36 ya Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania yaliyofanyika mkoani Mtwara.