Habari
WAHITIMU TPSC WATAKIWA KUTUMIA ELIMU YAO KUFANYA KAZI KWA UFANISI ILI KUWA NA TIJA KATIKA MAENDELEO YA TAIFA

Sehemu ya wahitimu wa kozi mbalimbali katika mahafali ya 36 ya Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama (hayupo pichani) alipokuwa akizungumza nao wakati wa mahafali ya 36 ya Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania yaliyofanyika mkoani Mtwara.