Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

WAHITIMU TPSC WATAKIWA KUTUMIA ELIMU YAO KUFANYA KAZI KWA UFANISI ILI KUWA NA TIJA KATIKA MAENDELEO YA TAIFA


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wahitimu wa kozi mbalimbali wakati wa mahafali ya 36 ya Chuo cha Utumishi wa Umma yaliyofanyika mkoani Mtwara.