Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

WAAJIRI WATAKIWA KUANDAA MADAWATI YA MSAADA ILI KUWEZESHA UTEKELEZAJI WA MAELEKEZO YA MHE. RAIS YA KUWAREJESHEA MICHANGO YAO WATUMISHI WA UMMA WALIOONDOLEWA KWA KUGHUSHI VYETI


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akitoa maelekezo kwa waajiri kupitia vyombo vya habari kuhusu kutekeleza agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan la kuwarejeshea michango ya Mifuko ya Hifadhi za Jamii watumishi walioondolewa kwenye utumishi wa umma kwa kosa la kughushi vyeti.