Habari
WAAJIRI TATUENI CHANGAMOTO YA UHABA WA WATUMISHI KWA KUBAINI NA KUWAENDELEZA WATUMISHI WENYE UJUZI ILI KUZIBA NAFASI KATIKA KADA ZENYE UHITAJI

Sehemu ya Watumishi wa Umma wa Wilaya ya Kigamboni wakimsikiliza Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius Ndejembi (hayupo pichani), alipokuwa akizungumza nao wakati wa ziara yake ya kikazi iliyolenga kuhimiza uwajibikaji na kutatua changamoto zinazowakabili watumishi hao.