Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

VIONGOZI WASHIRIKI UFUNGUZI WA KIKAO CHA WENYEVITI WA BODI AICC


Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw. Juma Mkomi akiwa katika Kikao Kazi cha Wenyeviti wa Bodi na Wakuu wa Taasisi za Umma Kinachofanyika katika ukumbi wa AICC Jijini Arusha. Kikao hicho kimefunguliwa na Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan tarehe 28 Agosti, 2024.