Habari
VIONGOZI WANAWAKE WALIOHITIMU MAFUNZO YA UONGOZI WATAKIWA KUJIAMINI NA KUFANYA KAZI KWA UFANISI ILI KUWAHUDUMIA WANANCHI

Sehemu ya wahitimu wa Programu ya Mafunzo kwa Viongozi Wanawake inayotolewa na Taasisi ya UONGOZI wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene (hayupo pichani) wakati wa mahafali ya sita ya programu za mafunzo ya uongozi yaliyofanyika katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.