Habari
VIONGOZI WANAWAKE WALIOHITIMU MAFUNZO YA UONGOZI WATAKIWA KUJIAMINI NA KUFANYA KAZI KWA UFANISI ILI KUWAHUDUMIA WANANCHI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene akimtunuku cheti mmoja wa wahitimu wa mafunzo ya uongozi wakati wa mahafali ya sita ya programu za mafunzo ya uongozi yaliyofanyika katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.