Habari
VIONGOZI WANAWAKE WALIOHITIMU MAFUNZO YA UONGOZI WATAKIWA KUJIAMINI NA KUFANYA KAZI KWA UFANISI ILI KUWAHUDUMIA WANANCHI

Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya UONGOZI Balozi Ombeni Sefue akitoa neno la shukrani kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene (hayupo pichani) mara baada ya Waziri huyo kuwatunuku vyeti wahitimu wa mafunzo ya uongozi katika Mahafali ya Sita ya Taasisi ya UONGOZI yaliyofanyika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.