Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

VIONGOZI WANAWAKE WALIOHITIMU MAFUNZO YA UONGOZI WATAKIWA KUJIAMINI NA KUFANYA KAZI KWA UFANISI ILI KUWAHUDUMIA WANANCHI


Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya UONGOZI akitoa neno la utangulizi wakati wa mahafali ya sita ya programu za mafunzo ya uongozi yanayotolewa na taasisi yake kabla ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene (hayupo pichani) kuwatunuku vyeti wahitimu katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.