Habari
VIONGOZI WANAWAKE WALIOHITIMU MAFUNZO YA UONGOZI WATAKIWA KUJIAMINI NA KUFANYA KAZI KWA UFANISI ILI KUWAHUDUMIA WANANCHI

Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya UONGOZI akitoa neno la utangulizi wakati wa mahafali ya sita ya programu za mafunzo ya uongozi yanayotolewa na taasisi yake kabla ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene (hayupo pichani) kuwatunuku vyeti wahitimu katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.