Habari
VIONGOZI WANAWAKE WALIOHITIMU MAFUNZO YA UONGOZI WATAKIWA KUJIAMINI NA KUFANYA KAZI KWA UFANISI ILI KUWAHUDUMIA WANANCHI

Sehemu ya wahitimu wa mafunzo ya uongozi wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene (hayupo pichani) katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam, kabla ya Waziri huyo kuwatunuku vyeti wakati wa mahafali ya sita ya programu za mafunzo ya uongozi zinazotolewa na Taasisi ya UONGOZI.