Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

VIONGOZI WA SERIKALI ZA VIJIJI WAHIMIZWA KUWEKA UWAZI KATIKA KUWATAMBUA WANAOSTAHILI KUINGIZWA KWENYE MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI ILI KUEPUSHA MALALAMIKO


Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete akisalimiana na wananchi wa Kata ya Masaki, Kijiji cha Kisanga mara baada ya kuwasili katika eneo hilo kwa lengo la kuzungumza na wananchi na walengwa wa TASAF wakati wa ziara yake ya kikazi iliyolenga kukagua utekelezaji wa miradi ya TASAF.