Habari
VIONGOZI WA SERIKALI ZA VIJIJI WAHIMIZWA KUWEKA UWAZI KATIKA KUWATAMBUA WANAOSTAHILI KUINGIZWA KWENYE MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI ILI KUEPUSHA MALALAMIKO

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete akitazama shamba la kilimo cha mikorosho na miembe ambalo ni mradi wa walengwa wa TASAF katika Kijiji cha Kisanga wakati wa ziara ya kikazi ya Naibu Waziri huyo iliyolenga kukagua utekelezaji wa miradi ya TASAF.