Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

VIONGOZI WA SERIKALI ZA VIJIJI WAHIMIZWA KUWEKA UWAZI KATIKA KUWATAMBUA WANAOSTAHILI KUINGIZWA KWENYE MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI ILI KUEPUSHA MALALAMIKO


Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe, Bw. Zuberi Kizwezwe akitoa utambulisho wa viongozi wa Kata ya Masaki, Kijiji cha Kisanga kwa Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete kabla ya Naibu Waziri huyo kuzungumza nao wakati wa ziara yake ya kikazi katika Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe iliyolenga kukagua utekelezaji wa miradi ya TASAF.