Habari
VIONGOZI NA WATENDAJI WA OFISI YA RAIS-UTUMISHI WAWASILISHA MADA NA KUTOA UFAFANUZI WA MASUALA YA KIUTUMISHI KWENYE MKUTANO WA KUMI WA KITAALUMA WA TAPSEA ULIOANZA JANA MKOA WA KUSINI UNGUJA, ZANZIBAR

Mkurugenzi wa Idara ya Usimamizi wa Maadili, Ofisi ya Rais-UTUMISHI, Bi. Leila Mavika akifafanua hoja kuhusiana na masuala ya maadili kwenye Mkutano wa Kumi wa Kitaaluma wa Makatibu Mahsusi Tanzania unaoendelea katika Ukumbi wa Mikutano wa Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar (SUZA) mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar.