Habari
VIONGOZI MKOANI RUVUMA WATAKIWA KUSIMAMIA RASILIMALIWATU ILI KUINUA PATO LA TAIFA KUPITIA FILAMU YA ‘THE ROYAL TOUR’

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akipata maelezo ya Nyara za Serikali kutoka kwa Afisa Utalii Pori la Akiba Liparamba, Bi. Maajabu Mbogo wakati wa tamasha la kuenzi mchango wa filamu ya ‘The Royal Tour’ lililofanyika katika uwanja wa Majimaji mkoani Ruvuma.