Habari
UZINGATIAJI WA MAADILI KATIKA UTUMISHI WA UMMA WAONGEZEKA NA KUFIKIA ASILIMIA 75.9 KUTOKANA NA JITIHADA ZA SERIKALI YA AWAMU YA SITA

Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bw. Xavier Daudi akitoa neno la utangulizi kabla ya kumkaribisha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama (hayupo pichani) kuzungumza na Waandishi wa Habari wakati akitoa matokeo ya tafiti ya hali ya uzingatiaji maadili katika Utumishi wa Umma ya mwaka 2022.