Habari
UCHAGUZI WA MFANYAKAZI HODARI WA OFISI YA RAIS-UTUMISHI

Mfanyakazi hodari wa Ofisi ya Rais Memeijimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bw. Hassan Shaibu akiwa amesimama mbele ya Watumishi wenzake kuwashukuru mara baada ya kuchaguliwa kuwa mfanyakazi hodari wa Ofisi hiyo kwa mwaka 2021/2022.