Habari
UCHAGUZI WA MFANYAKAZI HODARI WA OFISI YA RAIS-UTUMISHI

Sehemu ya Watumishi wa Ofisi ya Rais Memeijimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora wakimsikiliza Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa umma, Dkt. Laurean Ndumbaro (hayupo pichani) alipokuwa akimtangaza mfanyakazi hodari wa Ofisi yake kwa mwaka 2021/2022.