Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

UANZISHWAJI WA MFUKO WA UWEKEZAJI WA PAMOJA WA ‘FAIDA FUND’ NI MATOKEO YA UTAWALA BORA WA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN


Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius Ndejembi akifuatilia maelezo ya namna mfumo wa FAIDA FUND unavyofanya kazi.