Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

UANZISHWAJI WA MFUKO WA UWEKEZAJI WA PAMOJA WA ‘FAIDA FUND’ NI MATOKEO YA UTAWALA BORA WA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN


Baadhi ya wadau wa Watumishi Housing Investments (WHI) wakimsikiliza Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius Ndejembi (hayupo pichani) wakati akizindua mauzo ya vipande vya mfuko wa uwekezaji wa pamoja wa FAIDA FUND jijini Dar es Salaam, ulioanzishwa na WHI ili kuwawezesha Watanzania wenye kipato cha chini kupata mitaji itakayoboresha maisha yao.