Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

TUZO YA RAIS WA AWAMU YA TATU, HAYATI BENJAMIN WILLIAM MKAPA


Tuzo ya Rais wa Awamu ya Tatu, Hayati Benjamin William Mkapa, kwa kutambua, mchango wake katika kuhakikisha utekelezaji wake wa Mradi wa Bwawa la Mwalimu Julius Nyerere.

Imepokelewa kwa niaba yake na Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bi. Prisca Lwangili.

Tuzo hii ni ishara ya heshima na kutambua mchango wake katika kutimiza maono ya Taifa ya kuwa na umeme wa uhakika kwa maendeleo ya Tanzania.