Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

TUZO YA RAIS WA AWAMU YA KWANZA NA MBEBA MAONO WA TAIFA LA TANZANIA, HAYATI MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE


Tuzo ya Rais wa Awamu ya Kwanza na mbeba maono wa Taifa la Tanzania, Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, kwa kutambua mchango wake katika kuasisi na kuwa na maono ya ujenzi wa Mradi wa Bwawa la Mwalimu Julius Nyerere.

Imepokelewa kwa niaba yake na   Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bi. Prisca Lwangili.

Tuzo hii ni ishara ya heshima na kutambua mchango wake katika kuasisi maono ya Taifa ya kuwa ba umeme wa uhakika kwa maendeleo ya Tanzania.