Habari
TPSC NA TAASISI YA UONGOZI ZATAKIWA KUANDAA PROGRAMU ZA MAFUNZO ZITAKAZOBORESHA UTENDAJI KAZI WA WATUMISHI WA UMMA NA VIONGOZI

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete akisalimiana na Menejimenti ya Chuo cha Utumishi wa Umma mara baada ya kuwasili chuoni hapo jijini Dar es Salaam kwa ziara ya kikazi iliyolenga kuhimiza uwajibikaji kwa watumishi wa umma chuo hicho.