Habari
TPSC NA TAASISI YA UONGOZI ZATAKIWA KUANDAA PROGRAMU ZA MAFUNZO ZITAKAZOBORESHA UTENDAJI KAZI WA WATUMISHI WA UMMA NA VIONGOZI

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete akiwasili katika Chuo cha Utumishi wa Umma Kampasi ya Dar es Salaam kwa ziara ya kikazi iliyolenga kuhimiza uwajibikaji kwa watumishi wa umma chuo hicho.