Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

TASAF YAGUSA MAISHA YA WANANCHI KIJIJI CHA KITANGA KWA KUWAJENGEA VISIMA VYA MAJI SAFI NA SALAMA


Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius Ndejembi akifuatilia taarifa ya utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini ya Kijiji cha Kitanga iliyokuwa ikiwasilishwa na Afisa Mtendaji wa Kijiji hicho, Bw. Steven Michael wakati wa ziara ya kikazi ya Naibu Waziri huyo iliyolenga kukagua utekelezaji wa miradi ya TASAF wilayani Kisarawe.