Habari
TASAF YAELEKEZWA KUJENGA WODI YA AKINA MAMA NA AKINA BABA KATIKA ZAHANATI YA LUSHAMBA ILI KUIMARISHA HUDUMA ZA AFYA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akiwasisitiza wanafunzi wa Shule ya Msingi Chema, Halmashauri ya Buchosa wilayani Sengerema kusoma kwa bidii ili kuunga mkono jitihada za serikali za kujenga madarasa katika shule hiyo.