Habari
TASAF YAELEKEZWA KUJENGA WODI YA AKINA MAMA NA AKINA BABA KATIKA ZAHANATI YA LUSHAMBA ILI KUIMARISHA HUDUMA ZA AFYA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akizungumza na mlengwa wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini wa Kijiji Lushamba, Kata ya Bulyaheke, Halmashauri ya Buchosa wilayani Sengerema wakati wa ziara yake ya kikazi ya kukagua utekelezaji wa miradi ya TASAF wilayani humo mkoani Mwanza.