Habari
TASAF KUJENGA JENGO JIPYA LA KUTOA HUDUMA ZA KITABIBU KATIKA KITUO CHA AFYA CHA DONGE VIJIBWENI ZANZIBAR

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akikagua jengo la huduma ya mama na mtoto linalojengwa na TASAF katika Kituo cha Afya cha Dongo Vijibweni, kilichopo Wilaya ya Unguja Kaskazini B, Mkoa wa Kaskazini Unguja, Zanzibar.