Habari
TASAF KUJENGA JENGO JIPYA LA KUTOA HUDUMA ZA KITABIBU KATIKA KITUO CHA AFYA CHA DONGE VIJIBWENI ZANZIBAR

Sehemu ya wananchi na wanufaika wa TASAF wa Shehia ya Donge Pwani iliyopo Wilaya ya Unguja Kaskazini B wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama (hayupo pichani) wakati wa ziara yake ya kikazi ya kukagua utekelezaji wa miradi ya TASAF katika Mkoa wa Kaskazini Unguja, Zanzibar.