Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

TANZANIA KUSHIRIKIANA NA AZERBAIJAN KUBORESHA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANANCHI


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene akiwa katika picha ya pamoja na watalaamu kutoka nchini  Azerbaijan pamoja na wataalamu wa hapa nchini mara baada ya kufanya kikao cha pamoja kwa ajili ya kubadilishana uzoefu katika  utoaji wa huduma bora na  ya pamoja ‘‘ One Stop Service Center ‘‘ kwa wananchi kufuatia nchi hiyo kupiga  hatua kubwa katika eneo hilo