Habari
TANZANIA KUSHIRIKIANA NA AZERBAIJAN KUBORESHA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANANCHI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene akiwa katika picha ya pamoja na watalaamu kutoka nchini Azerbaijan pamoja na wataalamu wa hapa nchini mara baada ya kufanya kikao cha pamoja kwa ajili ya kubadilishana uzoefu katika utoaji wa huduma bora na ya pamoja ‘‘ One Stop Service Center ‘‘ kwa wananchi kufuatia nchi hiyo kupiga hatua kubwa katika eneo hilo