Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

TANZANIA KUSHIRIKIANA NA AZERBAIJAN KUBORESHA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANANCHI


Mwenyekiti wa Wakala wa Taifa kwa Utumishi wa Umma na Ubunifu wa Kijamii ya nchini Azerbaijan, Mhe. Ulvi Mehdiyev akizungumza jijini Dar es Salam mara baada ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene kufanya kikao cha pamoja na timu ya wataalamu kutoka nchini Azerbaijan kwa ajili ya kubadilishana uzoefu katika  utoaji wa huduma bora na  ya pamoja ‘‘ One Stop Service Center” kwa wananchi kufuatia nchi hiyo kupiga  hatua kubwa katika eneo hilo.