Habari
TAKUKURU YATAKIWA KUTOA MAFUNZO YA PROGRAMU YA TAKUKURU RAFIKI KWA WATENDAJI WA KATA ILI WASHIRIKI KIKAMILIFU MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA
Afisa Uchunguzi Mkuu wa TAKUKURU Bw. John Shija (Wa kwanza kulia) akiwasilisha mada kuhusu Programu ya TAKUKURU RAFIKI kwa Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa (USEMI) wakati wa mafunzo yaliyotolewa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kwa wajumbe wa kamati hiyo jijini Dodoma.