Habari
TAKUKURU YATAKIWA KUTOA MAFUNZO YA PROGRAMU YA TAKUKURU RAFIKI KWA WATENDAJI WA KATA ILI WASHIRIKI KIKAMILIFU MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius Ndejembi akifungua mafunzo ya Programu ya TAKUKURU RAFIKI kwa Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge na Utawala na Serikali za Mitaa (USEMI) yaliyotolewa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) jijini Dodoma.